Title Document
Corporate Service Charter

The Media Council of Kenya is an independent national institution established by the Media Council Act, No. 20 of 2013 for purposes of setting of media standards and ensuring compliance with those standards as set out in Article 34(5) of the Constitution and for connected purposes. The Council is guided by the vision of service to society where media freedom is respected, upheld, protected and maintained and where journalists, media practitioners and media houses are professional, responsible and accountable and adhere to media ethics and quality standards.

Link: Corporate Service Charter 2024

Link: Service Charter Video

Download
Muafaka wa Baraza la Vyombo vya Habari Kenya

Baraza la Vyombo vya Habari la Kenya (MCK) ni asasi ya kitaifa iliyoanzishwa kupitia Kifungu cha Mwaka wa 2013 cha Baraza la Vyombo vya Habari kustawisha na kuratibu sekta ya vyombo vya habari nchini Kenya ili kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari, utaalamu na kujisimamia kama inavyofafanuliwa katika Kifungu cha 34 (5) cha Katiba.

Kiungo: Muafaka wa Baraza la Vyombo vya Habari Kenya 2024

Kiungo: Filamu ya Muafaka wa Baraza la Vyombo vya Habari Kenya

Download